Psalms 121

Natazama huko juu milimani;
msaada wangu watoka wapi?

Msaada wangu watoka kwa Mwenyezi-Mungu,
aliyeumba mbingu na dunia.

Hatakuacha uanguke;
mlinzi wako hasinzii.

Kweli mlinzi wa Israeli hasinzii wala halali
Mwenyezi-Mungu ni mlinzi wako;
yuko upande wako wa kulia kukukinga.
Mchana jua halitakuumiza,
wala mwezi wakati wa usiku.

Mwenyezi-Mungu atakukinga na baya lolote;
atayalinda salama maisha yako.
Mwenyezi-Mungu atakulinda katika shughuli zako zote tangu sasa na hata melele.

Zaburi 121

Comments

Anonymous said…
How many letters are there in their alphabet? Looks difficult to learn!
Marilee

Popular posts from this blog

Tales from an exile

Phase 2

Almost nearly perfectly content.